KOREA KASKAZINI YARUSHA MAKOMBORA MATATU KATIKA BAHARI YA MASHARIKI


Korea Kaskazini imerusha makombora matatu yasiyojulikana kwenye bahari ya mashariki, wiki moja baada ya kurusha makombora mawili ya masafa mafupi katika bahari hiyo. 


Baraza la wanadhimu wakuu la jeshi la Korea Kusini limetoa taarifa fupi ikisema, makombora yalirushwa upande wa kaskazini mashariki kutoka maeneo yaliyoko karibu wilaya ya Sondok mkoani Hamgyong Kusini.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post