Kenyatta na Mkewe wauaga mwili wa Daniel Arap Moi

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amewaongoza wananchi wa Kenya, kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Daniel arap Moi, katika majengo ya Bunge jijini Nairobi.

Mwili huo utaendelea kuagwa kesho Jumapili na Jumatatu na Jumanne utapelekwa kwenye Uwanja wa Nyayo kwa ajili ya Ibada.

Mwili wa Moi utazikwa Jumatano Feb. 12, 2020 nyumbani kwake Kabarak, Nakuru.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post