VANESSA MDEE AMLETA MPENZI WAKE TANZANIA KWA MARA YA KWANZA

Msanii Vanessa Mdee  amemleta mpenzi wake ambaye ni muigizaji maarufu wa Nigeria na Marekani, Olurotimi Akinosho ‘Rotimi’   kwa mara ya kwanza katika ardhi ya Tanzania.


Inasemekana wawili hao watafanya show usiku wa leo katika Ukumbi wa Velisas – Kawe Beach. jijini Dar es salaam ambayo ni maalum kwa kuuaga mwaka 2019 na kuukaribisha 2020.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527