KUBENEA AJITOA KUGOMBEA UMAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA
Monday, December 16, 2019
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea ameandika barua ya kujitoa kugombea Umaakamu Mwenyekiti wa Chadema Bara katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Desemba 18, 2019 na kusema kuwa Mwanasheria Mkuu wa chama hicho, Tundu Lissu anafaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho kuliko yeye.
Waliobaki kwenye nafasi hiyo ni Mbunge wa viti maalumu wa (Chadema), Sophia Mwakagenda ambaye atachuana na mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu
Endapo wakiteuliwa na baraza kuu la chama kesho Jumanne Desemba 17, 2019 wawili hao wanatarajiwa kuchuana Desemba 18, 2019 katika mkutano mkuu wa chama utakaokuwa na ajenda ya kufanya uchaguzi wa kumpata mwenyekiti na makamu wenyeviti wa bara na visiwani.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin