JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI LAWATAHADHARISHA WANANCHI KUTOTHUBUTU KUVUKA KWENYE MADARAJA YALIYOJAA MAJI
Saturday, December 21, 2019
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linawatahadharisha wananchi kutothubutu kuvuka kwenye madaraja au makaravati yaliyofunikwa na maji kwa sababu kuna uwezekano mkubwa wa kusombwa na maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin