MCHEKESHAJI MAARUFU NJENGA MSWAHILI AFARIKI DUNIA
Thursday, November 07, 2019

Mchekeshaji aliyekuwa akishiriki shoo ya Churchill Njenga Mswahili amefariki dunia.
Mwili wa Njenga umepatikana Alhamisi, Novemba 7,2019 eneo la Daforeti South, katika Soko la Ndonyo nchini Kenya na inadaiwa aligongwa na treni.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin