MCHEKESHAJI MAARUFU NJENGA MSWAHILI AFARIKI DUNIA


Mchekeshaji aliyekuwa akishiriki shoo ya Churchill Njenga Mswahili amefariki dunia. 

Mwili wa Njenga umepatikana Alhamisi, Novemba 7,2019 eneo la Daforeti South, katika Soko la Ndonyo nchini Kenya na inadaiwa aligongwa na treni. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527