HAJI MANARA: SIMBA NI KLABU BINGWA YA TAIFA HILI

Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, amefunguka mambo kadhaa kuhusiana na kikosi cha timu hiyo kuelekea mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City leo;



Nyie ni Klabu Bingwa ya taifa hili,nyie ni timu bora kupita zote Afrika Mashariki na ya kati kwa sasa! Nyie ni Wachezaji mnaoishi comfortable kuliko wachezaji wengine wowote ktk ukanda huu wa Afrika!!


Na nyie ndio Timu maarufu kupita zote ktk Zone hii, na mmetajwa na CAF ni klabu ya kumi na Sita bora Afrika nzima!!



Nadhan mtakuwa mmeelewa Wanasimba wanahitaji nn jioni ya leo hapa Uhuru Stadium,hususan baada ya kupoteza Kwenye last game!!



No Excuse today zaidi ya ushindi, hamtaeleweka na mm mtaninifanya niiasi insta kwa muda bila sababu!!! Nipo huku Cairo nikiamini Mtatenda kitakachotendwa hapa ilipoishi Mitume mingi. 



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527