MKUTANO WA BUNGE WAAHIRISHWA....WABUNGE WAPITISHA AZIMIO LA KUMPONGEZA RAIS MAGUFULI
Friday, November 15, 2019
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa 17 wa Bunge la 11 leo tarehe 15/11/2019 jijini Dodoma. Pamoja na mambo mengine Bunge limeazimia kumpongeza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutokana na kazi nzuri anayoifanya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa 17 wa Bunge la 11 leo tarehe 15/11/2019 jijini Dodoma. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Job Ndugai akizungumza wakati wa kuhitimisha kikao cha 17 cha Mkutano wa 11 wa Bunge leo tarehe 15/11/2019 jijini Dodoma. Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini Mhe. Jason Rwekiza akiwasilisha hoja binafsi ya kuazimia Bunge kumpongeza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutokana na kazi nzuri anayoifanya wakati wa kuhitimisha kikao cha 17 cha Mkutano wa 11 wa Bunge leo tarehe 15/11/2019 jijini Dodoma. Mbunge wa Jimbo la Ulanga Mhe. Goodlucky Mlinga akichangia hoja kuhusu azimio la Bunge kumpongeza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutokana na kazi nzuri anayoifanya wakati wa kuhitimisha kikao cha 17 cha Mkutano wa 11 wa Bunge leo tarehe 15/11/2019 jijini Dodoma. Mbunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini, Mhe Charles Mwijage akichangia hoja kuhusu azimio la Bunge kumpongeza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutokana na kazi nzuri anayoifanya wakati wa kuhitimisha kikao cha 17 cha Mkutano wa 11 wa Bunge leo tarehe 15/11/2019 jijini Dodoma. Mbunge wa Jimbo la Sumve, Mhe Richard Ndassa akichangia hoja kuhusu azimio la Bunge kumpongeza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutokana na kazi nzuri anayoifanya wakati wa kuhitimisha kikao cha 17 cha Mkutano wa 11 wa Bunge leo tarehe 15/11/2019 jijini Dodoma. Mbunge wa Mbunge wa Viti Maalum CCM, Mhe. Amina Mollel akichangia hoja kuhusu azimio la Bunge kumpongeza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutokana na kazi nzuri anayoifanya wakati wa kuhitimisha kikao cha 17 cha Mkutano wa 11 wa Bunge leo tarehe 15/11/2019 jijini Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipongezwa na Baadhi ya Mawaziri na Manaibu Mawaziri mara baada ya kumaliza hotuba yake ya kuahirisha Mkutano wa 17 wa Bunge la 11 leo tarehe 15/11/2019 jijini Dodoma.Aliyeshikana naye mkono ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira, katikati ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Ajira, Vijana, Kazi, Ajira na Wenye ulemavu Jenista Mhagama. Kikundi cha Brass Band kikiongoza kuimba wimbo wa taifa wakati wa kuhairisha Mkutano wa 17 wa Bunge la 11 leo tarehe 15/11/2019 jijini Dodoma.
(Picha na Idara ya Habari – MAELEZO)
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin