JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA LAADHIMISHWA WILAYANI MISUNGWI

Afisa Tawala Wilaya Misungwi mkoani Mwanza, Zubeda Kimaro akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Misungwi, Juma Sweda kwenye Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima Duniani 2019 yaliyofanyika kiwilaya katika Kata ya Ukiriguru, Oktoba 03, 2019.



Na George Binagi-GB Pazzo
Afisa Elimu Msingi Wilaya Misungwi, Mwl. Frank Magabiko akizungumza kwenye maadhimisho hayo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Misungwi, Kisena Mabuba.
Afisa Elimu Watu Wazima Wilaya Misungwi, Mwl. Lusian Malungo akifafanua jambo kwenye maadhimisho hayo.
Mgeni rasmi, Zubeda Kimaro akikabidhi cheti kwa mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya elimu ya watu wazima wilayani Misungwi.
Mmoja wa wahitimu elimu ya watu wazima wilayani Misungwi aakipokea cheti kutoka kwa mgeni rasmi.
Mgeni rasmi, Zubeda Kimaro akikabidhi cheti kwa mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya elimu ya watu wazima wilayani Misungwi.
Wahitimu mbalimbali wa mafunzo na elimu ya watu wazima wilayani Misungwi walipokea vyeti kwenye maadhimisho hayo.
Mgeni rasmi, Zubeda Kimaro akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali kukagua bidhaa zinazotengenezwa na wanufaika wa elimu ya watu wazima wilayani Misungwi.
Mgeni rasmi, Zubeda Kimaro akikagua bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na wanufaika wa elimu ya watu wazima wilayani Misungwi.
Mgeni rasmi, Zubeda Kimaro akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali kukagua bidhaa zinazotengenezwa na wanufaika wa elimu ya watu wazima wilayani Misungwi.
Burudani ya ngoma za asili kutoka kwa wanafunzi.
Tazama Video hapa chini


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527