NDUGAI AMWAPISHA MIRAJI MTATURU KUWA MRITHI WA JIMBO LA TUNDU LISSU


Spika wa Bunge, Job Ndugai, leo Jumanne September 3, 2019  amemwapisha Miraji Mtaturu kuwa Mbunge wa Singida Mashariki. Mtaturu amechukua nafasi iliyoachwa na Tundu Lissu.

Wakati Mtaturu akiapishwa, wabunge wa CHADEMA wamesusia tukio hilo kwa kugoma kuingia ukumbini .

Wakati Mtaturu akichukua nafasi yake, Ndugai amesema jimbo hilo sasa limepata mwakilishi halali.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527