MWANZILISHI WA KAMPUNI YA ALIBABA JACK MA ASTAAFU RASMI


Bilionea Jack Ma amestaafu kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Alibaba, baada ya kuongoza kwa miaka 20, akishuhudia Kampuni ya Alibaba ikikua na kuanzisha biashara mpya. Jack amemteua  Daniel Zhang kuongoza makampuni hayo.

Katika barua yake aliyotoa kwa umma Septemba, 10, mwaka jana, bilionea huyo ambaye pia ni mwanzilishi wa kampuni hiyo kubwa ya biashara ya mtandaoni alisema Alibaba kamwe haimilikiwi naye peke yake, lakini atakuwa nayo daima.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527