TID ADAI KAPIGWA NA MAJAMBAZI....MTAZAME HAPA


Mwimbaji mkongwe wa Bongo Fleva Top In Dar (TID) ameweka picha kwenye ukurasa wake wa instagram akionekana amepigwa na watu ambao amewataja kuwa ni wezi huku akidai kuwa  watu hao wanaweza fanya chochote sababu huwa wana mipango mbadala.


“Washamba Bwana Wakiona tu Unasikika wanaamua kukupiga hivi …. It’s so Sad Jambazi anaeza kukufanyia chochote sababu yeye Jambazi na Yuko na Back Up za Kijambazi #RevengeoftheNinja“ aliandika TID


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527