RAIS MAGUFULI AREJEA NCHINI AKITOKEA ZIMBABWE


Rais John Magufuli amerejea nchini kutoka Zimbabwe ambapo amepokelewa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen.  Venance Mabeyo.


Rais  Magufuli kwa takribani wiki moja sasa amekuwa ziarani katika nchi kadhaa za Afrika, ziara hizi za wanachama wa SADC zilikuwa muhimu kwa sababu ya uhusiano wa kipekee na kihistoria wa Tanzania na nchi hizo 


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527