CHUO CHA TANGANYIKA POLYTECHNIC ARUSHA CHAWAPA WAJASIRIAMALI MAFUNZO YA KUTENGENEZA MIFUKO YA KARATASI


Meneja wa Sido mkoa wa Arusha,Uongozi wa Chuo pamoja na wahitimu wa mafunzo ya kutengeneza mifuko ya karatasi wakiwa katika picha ya pamoja. 
Wanakikundi kutoka eneo la Lemara jijini Arusha waliopata mafunzo ya muda mfupi ya kutengeneza mifuko ya karatasi ili kuendana na sera ya serikali kuondoa matumizi ya mifuko ya nailoni,mafunzo hayo yametolewa na wakufunzi wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic jijini Arusha. 
Wanakikundi kutoka eneo la Lemara jijini Arusha waliopata mafunzo ya muda mfupi ya kutengeneza mifuko ya karatasi ili kuendana na sera ya serikali kuondoa matumizi ya mifuko ya nailoni,mafunzo hayo yametolewa na wakufunzi wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic jijini Arusha. 
Mmoja wa walionufaika na mafunzo ya kutengeneza mifuko ya karatasi katika Chuo cha Tanganyika Polytechnic ,Bakari Juma akitoa ushuhuda namna inavyomwingizia kipato kutokana na mahitaji kuongezeka. 
Meneja wa shirika la Sido mkoa wa Arusha,Nina Nchimbi akizungumza wakati wa hafla ya kufunga mafunzo kwa wajasiriamali wa kutengeneza mifuko ya karatasi ,kushoto ni Mkurugenzi wa ubunifu wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic kilichota mafunzo hayo,Dk Richard Masika na Mkuu wa Chuo,Abdul Semvua. 
Mkurugenzi wa ubunifu wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic kilichopo Njiro,Dk Richard Masika akizungumza katika hafla hiyo. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527