JIMAMA LAFUMANIWA LIVE LIKIHONDOMOLA TENDO LA NDOA NA MTOTO WA DARASA LA SABA

Kizaazaa kimeshuhudiwa katika kijiji cha Mwangorisi, eneo bunge la Mugirango Magharibi, Kaunti ya Nyamira nchini Kenya baada ya mwanamke mwenye umri wa miaka 45 kufumaniwa akishiriki uroda na mvulana mwenye umri wa miaka 14. 

Kulingana na wakazi wa eneo hilo, Angeline Osebe ambaye anafahamika kuwa kahaba alimnyemelea mvulana huyo wa darasa la 7 katika nyumba yao ya kulala Alhamisi, Mei 23 kisha kumshawishi kushiriki naye tendo hilo.

Wakazi waliokuwa na hasira walimvamia na kumpiga Osebe kabla ya kuokolewa na Wasamaria wema.

Mkazi mmoja kwa jina Erick Omwenga alimwona mwanamke huyo akiingia katika nyumba ya mvulana huyo jioni na kuwafahamisha wanakijiji ambao walifika na kumfumania akiwa uchi kitandani na mvulana huyo mdogo wakihondomolana. 

"Huwalenga sana wavulana wadogo, mkazi wa hapa alimwona akiingia katika nyumba ya mvulana huyo jioni na hakutoka. 

Alituita na tulipofika tulimpata akishiriki ngono naye," Omwenga alisema. 

Inaelezwa kuwa, wazazi wa mvulana huyo hawakuwapo nyumbani wakati wa kisa hicho na Hata hivyo alipokea kichapo kidogo kutoka kwa.

 Kamishona wa kaunti ya Nyamira Bw. Amos Mariba alithibitisha kisa hicho cha fedheha na cha kushangaza na kumshauri mwanamke huyo kutafuta wanaume wa rika lake kushiriki nao ngono badala ya kufuata wavulana wadogo.

 Wanawake wanaofanya biashara ya ngono ni lazima kuacha kufuatana na wavulana wadogo. Watafute wanaume wa umri wao badala ya watoto wachanga," Mariba alisema. 

Kulingana na kamishna, Asebe atafikishwa kortini mara uchunguzi ukikamilka ili uwe mfano kwa wengine wenye tabia ya aina hiyo.

Uchunguzi zaidi kuhusu kisa hicho unaendelea kwa sasa huku mwanamke huyo akiendelea kukaa seli. 

Ripoti ya Edwin Mwanambee, Kaunti ya Nyamira. 
Chanzo - Tuko

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527