Breaking : HIACE YAUA WATU SABA KIGOMA

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema watu wanaokadiriwa kuwa Saba wamefariki dunia baada ya Hiace kupinduka katika kijiji cha Mlela wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma.

Taarifa za awali kutoka eneo la tukio ajali hiyo imetokea leo jioni Ijumaa Mei 3,2019 inaelezwa kuwa watu 7 wamefariki dunia na wengine  12 wamejeruhiwa na wamekimbizwa katika hospitali ya Rufaa  Maweni kwa ajili ya matibabu. 


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527