ALIYEKUWA NAIBU KATIBU MKUU WA BARAZA LA VIJANA CHADEMA AJIUNGA RASMI CCM
Wednesday, April 17, 2019
Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana CHADEMA Tanzania Bara,Getrud Ndibalema na baadae kujiuzuru nafasi hiyo mwezi Machi mwa mwaka jana (2018), jana amejiunga na chama cha Mapinduzi CCM akipokelewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ndg Mussa Mwakitinya makao makuu ya chama hicho Dodoma
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin