ALIYEKUWA NAIBU KATIBU MKUU WA BARAZA LA VIJANA CHADEMA AJIUNGA RASMI CCM

Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana CHADEMA Tanzania Bara,Getrud Ndibalema na baadae kujiuzuru nafasi hiyo mwezi Machi mwa mwaka jana (2018), jana amejiunga na chama cha Mapinduzi CCM akipokelewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ndg Mussa Mwakitinya makao makuu ya chama hicho Dodoma


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527