MWENYEKITI WA CHADEMA WILAYA YA DODOMA MJINI APOKELEWA RASMI CCM

Yona Kusaja  ambaye alikuwa ni Diwani wa Kata ya Kikombo na Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Dodoma Mjini,  amejivua uanachama wa Chama Chadema na vyeo vyake vyote ndani ya Chama hicho na kujiunga na CCM

Bwana Yona Kusaja amepokelewa na Ndg. Humphrey Polepole Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi akiwa katika Semina ya Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ya CCM -  Dodoma.

Imetolewa na
IDARA YA ITIKADI  NA UENEZI
CHAMA CHA MAPINDUZI


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527