MPENZI WA DIAMOND 'TANASHA' AACHIA VIDEO YA WIMBO WAKE UNAITWA RADIO

Mtangazaji kutokea nchini Kenya, Tanasha ambaye ni mpenzi wa msanii Diamond Platnumz ameachia video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Radio akimshirikisha Barak Jacuzzi. Itazame hapa.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527