MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA TANZANIA ALAAANI BENDERA ZA CUF KUCHOMWA MOTO

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amelaani kitendo cha kuchomwa moto bendera za Chama cha Wananchi (CUF), kilichofanywa na baadhi ya waliokuwa wanachama wa chama hicho na baadaye kuhamia ACT-Wazalendo 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527