RAIS MAGUFULI AMTEUA MWANG'OMBE KUWA POSTA MASTA MKUU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Hassan Abeid Mwang’ombe kuwa PostaMasta Mkuu.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Mwang’ombe umeanza tarehe 12 Machi, 2019.

Kabla ya uteuzi huo, Mwang’ombe alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post