
Baada ya timu zote kutunishiana misuli,wameenda kwenye mikwaju ya penati ambapo Simba wamepata mabao 3 huku Malindi FC wakipata bao 1.
Simba SC wametinga Fainali watakipiga na Azam Fc siku ya Jumapili Januari 13,2019 katika mchezo wa fainali.
Simba SC wametinga Fainali watakipiga na Azam Fc siku ya Jumapili Januari 13,2019 katika mchezo wa fainali.