RAIS MAGUFULI AMEFANYA UTEUZI MWINGINE LEO


Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Dkt. Mwakahesya umeanza tarehe 21, Novemba 2018.

Dkt. Mwakahesya aliwahi kuhudumu kama Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini ( REA) mwaka 2016. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527