RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KIFO CHA KING MAJUTO


Rais Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli siku walipokwenda kumjulia hali King Majuto katika hospitali ya Tumaini jijini Dar es salaam Januari 31, 2018.
***
Rais Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kufuatia kifo cha Msanii Mkongwe nchini Tanzania Mzee Amri Athuman maarufu kwa jina la King Majuto kilichotokea leo tarehe 08 Agosti 2018 jijini Dar es salaam.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527