WAZIRI MKUU AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA MJINI KAHAMA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Taifa Kahama, Julai 15, 2018. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma wakati  alipowasili kwenye Uwanja wa Taifa Kahama mkoani kuhutubia mkutano wa hadhara, Julai 15, 2018. Wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527