WAZIRI MKUU AKISALIMIANA NA ALIYEKUWA DC KAHAMA AMBAYE UTEUZI WAKE UMETENGULIWA NA JPM


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Fadhili Nkurlu wakati alipowasili kwenye viwanja vya ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama kuzungumza na watumishi wa Umma, Julai 14, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527