Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Fadhili Nkurlu wakati alipowasili kwenye viwanja vya ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama kuzungumza na watumishi wa Umma, Julai 14, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)