EfG YATOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI WANAWAKE VIWANJA VYA MAONYESHO YA BIASHARA SABASABA


Maofisa wa Shirika la Equality for Growth (EfG), wakijadiliana jambo baada ya kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wanawake kwenye Banda la Jakaya Mrisho Kikwete Viwanja vya Kimataifa vya Maonyesho ya Biashara Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni Ofisa Tathimini na Ufuatiliaji, Shaaban Rulimbiye, Mwanasheria, Susan Sitta na Mwanasheria Mussa Mlawa.
Wageni waliotembelea banda la EfG wakisaini kitabu cha wageni.
Wageni waliotembelea banda la EfG wakisaini kitabu cha wageni. Kulia ni Mwanasheria Mussa Mlawa akiwa na furaha.
Maofisa wa Shirika la Equality for Growth (EfG), wakiwa ndani ya banda lao. Kutoka kushoto ni Mussa Mlawa, Susan Sitta na Shaaban Rulimbiye.
Wananchi wakiwa katika mabanda ya wajasiriamali ambao wamewezeshwa mafunzo na EfG.
Mmoja wa Wajasiriamali wanawake akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la EfG kwenye maonyesho hayo kuhusu ubora wa bidhaa zao.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527