Breaking : MAGARI YAGONGANA USO KWA USO ARUSHA USIKU HUU...KUNA VIFO NA MAJERUHI
Anonymous-
Watu wawili wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya Magari mawili yamegongana uso kwa uso usiku huu wa Jumapili Julai 29,2018 jijini Arusha. Tutakuletea taarifa kamili hivi punde
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527