Breaking : MAGARI YAGONGANA USO KWA USO ARUSHA USIKU HUU...KUNA VIFO NA MAJERUHI


Watu wawili wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya Magari mawili yamegongana uso kwa uso usiku huu wa Jumapili Julai 29,2018 jijini Arusha.
Tutakuletea taarifa kamili hivi punde

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527