HII HAPA RATIBA YA 16 BORA KOMBE LA DUNIA 2018


Alhamis ya Juni 28,2018 tumeshuhudia michuano ya Kombe la Dunia 2018 hatua ya makundi ikimalizika kwa Afrika kupoteza timu zote 5 katika hatua ya makundi kutokana na kukosa point za kutosha kuingia hatua ya 16 bora.

Timu 16 zilizofuzu hatua ya 16 bora ni England, Ubelgiji, Argentina, Colombia, Japan, Croatia, Hispania, Ureno, Brazil, Switzerland, Mexico, Ufaransa, Uruguay, Urusi, Denmark na Sweden hatua ya 16 bora itaanza June 30 kwa kwa michezo miwili Argentina vs Ufaransa na Ureno dhidi ya Uruguay.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527