RAIS MAGUFULI AMTEUA MIZENGO PINDA, MAKONGORO NYERERE KUWA WAJUMBE WA NEC


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wajumbe wa Nec Ndugu Mizengo Pinda waziri mkuu mstaafu na Makongoro Nyerere

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527