SPIKA NDUGAI AREJEA NCHINI KUTOKA INDIA

Spika wa Bunge, Job Ndugai amerejea jana Aprili 3, 2018 akitokea nchini India alikokwenda kwa ajili ya kupata matibabu miezi miwili.


Taarifa iliyotolewa katika ukurasa wa Twitter wa Bunge la Tanzania imesema “Spika Ndugai amepokelewa na Mbunge wa Viti Maalum, Mama Salma Kikwete na Wabunge wengine.”


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527