WANAWAKE WAASWA KUCHANGAMANA ILI WATENGENEZA FURSA ZA KIUCHUMI


Mkurugenzi wa Taasisi ya I-learn East Afrika, Noelah Bomani (Kulia) akimkabidhi tuzo Mwanamke aliyefanya vizuri na kuwa kivutio katika mafanikio yake katika kipindi cha mwaka 2017/2018, Joyce Ibengwe Nangai ambaye ni Meneja Mawasiliano na Masoko wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE). (Imeandaliwa na Robert Okanda Blogs)
Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada. 
Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada. 

Mwenyekiti wa Chemba ya Wajasiriamali Wanawake Tanzania (TWCC) Jacqueline Maleko akizungumza kuwaelezea uzoefu aliopitia na kuwasisitizia umuhimu wa kuchangaman ili waweze kutengeza fursa za kiuchumi hata kijamii wakati wa usiku wa Wanawake na tunzo kwa Mwanamke aliyefanikiwa kwa mwaka 2018 iliyoandaliwa na Tasisi ya Shangwe ambapo wanawake kutoka sehemu mbalimbali walikutana na kuzungumza mambo ya ujasilimali na namna ya kuvuka kutoka hatua moja hadi nyingine. 
Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa. 

Meneja Bima ya magari kutoka shirika la Bima ya Taifa (NIC) Emakulata Mwaitege, akizungumza umuhimu wa Wanawake kujiwekea bima katika biashara zao na maisha yao hili waweze kusimama tena pindi majanga yanapowakuta. 
Muigizaji na Msanii waTabasam PR Consultant, Regina Beraldo Kihwele akitumbuiza katika kongamano hilo. 
Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa. 
Mshereheshaji wa Kongamano hilo, Angela Kileo akiwajibika katika hafla hiyo.
Meneja mafao kutoka mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa NSSF, Rosemary Mchagula akileza umuhimu wa wanawake kujiunga na mfuko huo kutokana na mafao yanayotolewa katika kuwasaidi kwa kulitaja fao la uzazi. Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shangwe Event, Deus Ntukamanzina. 
Mmoja ya Wanawake walioshiriki katika kongamano hilo akichangia katika mada zilizokuwa zkitolewa kwenye kongamano hilo. 
Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifatilia matukio katika kongamano hilo. 
Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa. 
Mmoja ya Wanawake walioshiriki katika kongamano hilo akichangia katika mada zilizokuwa zkitolewa kwenye kongamano hilo. 
Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa. Kulia ni wazazi wa Afisa Mtendaji wa Shangwe Events, Deogratiasi Ntukamzina na Mke wake (wa pili kulia) 
Afisa Masoko wa Kituo Cha Uwekezaji nchini(TIC), Latifa Kigoda akileza ni namna gani wanawake wanaweza wakaungana na kuwa wawekezaji wakubw akatika mapinduzi haya ya uchumi wa Viwanda nchini. 
Mmoja ya Wanawake walioshiriki katika kongamano hilo kutoka TIB, Lisa Zavalla akichangia juu ya umuhimu wa wanawake kujikwamua kiuchumi katika mapinduzi ya uchumi wa Viwanda. 
Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali kwenye kongamano hilo. 
Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali kwenye kongamano hilo. Kulia ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Mamlaka ya Uchui na Uwekezaji Nchini (EPZA) Grace Lemunge . 
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya I-learn East Afrika, Noela Bomani akieleza umuhimu wa wanawake kuchangamana na watu mbalimbali hili waweze kujikwamua kiuchumi kuliko kukaa sehemu moja kusubiri fursa ziwafuate. 

Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa. 
Mwanasaikolojia na Mshauri wa masuala ya familia, Sadaka Said, akieleza umuhimu wa mwanamke kuambatana na mabinti zao katika maisha hili kuwajenga kwa ajili ya kesho yao kuliko kuwaacha nyumbani. 
Afisa Mtendaji mkuu wa Shangwe Event, Deus Ntukamanzina akizungumza na Wanawake waliofika katika hafla hiyo na kuwashukuru kwani kukutana kwao ndio mwanzo wa wao kupiga hatua kubwa zaidi 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Secrets Lingerie, Fatna Tambwe (kushoto) na Afisa Masoko wa Kimtandao wa Mult-Choice Tanzania Grace Mgaya wakifuatilia mada katika kongamano hilo. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527