MKURUGENZI WA SAHARA MEDIA GROUP ANTONY DIALLO ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA CCM MKOA WA MWANZA
Saturday, December 02, 2017
Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya SAHARA MEDIA GROUP Dr. Antony Diallo ameibuka mshindi kwenye matokeo ya Uchaguzi nafasi ya Mwenekiti wa Chamá Chamá Mapinduzi Mkoa Wa Mwanza.
Diallo amemshinda mpinzani wake Sadik Meck Sadick aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa kura
Diallo amepata kura 555,Meck kura 520.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin