MSANII RICHARD MASELE ACHAGULIWA KUWA KATIBU WA SIASA,ITIKADI NA UENEZI CCM MKOA WA SHINYANGA
Thursday, December 07, 2017
Msanii Richard Masele amechaguliwa kuwa Katibu wa itikadi,siasa na uenezi Chama Chama Mapinduzi mkoa wa Shinyanga.
Nafasi ya Msanii Richard Masele ilikuwa inashikiliwa na Emmanuel Stephen Mlimandago ambaye pia alikuwa miongoni mwa wagombea katika uchaguzi uliofanyika Disemba 5,2017.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin