ZITTO KABWE AKAMATWA NA POLISI ASUBUHI YA LEO

Mbunge Zitto Kabwe amekamatwa na Polisi leo asubuhi Jumanne Oktoba 31,2017 akiwa nyumbani kwake jijini Dar es Salaam na amepelekwa Kituo cha Polisi Chang'ombe.

****

TAARIFA KWA UMMA

ZITTO KABWE AKAMATWA

KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo,Zitto Kabwe,amekamatwa na jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake na anapelekwa kituo cha Polisi Chang'ombe

Sababu za kukamatwa kwake ni hotuba ya juzi katika kata ya Kijichi

Abdallah Khamis

Afisa Habari 
ACT Wazalendo
0655549154

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527