USAILI WA WAIMBAJI NA WAPIGAJI KWENYE IBADA YA KITAIFA YA KUABUDU KUFANYIKA JUMAMOSI HII

THE WORSHIPPERS TANZANIA ni umoja wa makanisa yote wanaopenda kumwabudu Mungu wameandaa mkesha mkubwa kwa ajili ya kumwabudu Mungu katika jiji la Dar es salaam kwa Wana Dar es Salaam wote wapendao kuabudu utakaofanyika 1.12.2017 siku ya Ijumaa kuanzia saa 3 usiku Upanga CCC.

  1. Je wewe ni muimbaji ama una kipaji cha kuimba ama wapiga vyombo kanisani?
  2. Uko tayari kumwabudu Mungu?
Ikiwa umejibu ndiyo basi wewe ni kati ya wale 200 tunaowahitaji kujisajili kushiriki mkesha huu. Jisajili kwa kupiga simu ziziopo hapa chini, Usaili utafanyika tarehe 16.9.2017 Jumamosi saa 2 hadi saa 8 mchana. JISAJILI SASA +255657266777 au +255768570703

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post