BARAZA LA HABARI TANZANIA - MCT LALAANI JARIBIO LA MAUAJI YA TUNDU LISSU

Baraza la Habari Tanzania ‘MCT’ limesema limesikitishwa na jaribio hilo la mauaji dhidi ya Mbunge na Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu.


Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kupitia kwa Katibu Mtendaji Kajubi Mkajanga September 11, 2017 Baraza hilo linaungana na wapenda amani na wadau wa habari na wa haki ya kujieleza na kutoa maoni kulaani kitendo hicho.


==>Isome hapo chini 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post