ARUSHA PRESS CLUB YATEMBELEA HIFADHI YA TARANGIRE KUJIONEA VIVUTIO MBALIMBALI


Mhifadhi katika hifadhi ya Taifa ya Tarangire Beatrice Ntambi akizungumza na waandishi wa chama cha waandishi mkoani Arusha(APC)waliokwenda kutembelea hifadhi hiyo kwa lengo la kujifunza na kutangaza utalii wa ndani
Sehemu ya waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini
Mratibu wa Arusha Press Club Seif Mangwangi akiorodhesha majina ya waandishi wanaoingia katika hifadhi ya Tarangire katika ziara ya mafunzo pamoja na kutangaza utalii wa ndani
Picha ikionyesha fuvu la mnyama aina ya Tembo 
Sehemu ya makundi makubwa ya tembo wanaopatikana katika hifadhi ya Taifa ya Tarangire
Twiga wakionekana vizuri katika hifadhi ya Tarangire
Tembo wakizunguka ndani ya hifadhi ya Tarangire 
Katika hifadhi hii utakuta aina ya miti mikubwa ya mibuyu inayosadikika kuishi mamia ama maelfu ya miaka ambayo pia ni kivutio kikubwa katika hifadhi ya Tarangire
Wanahabari wakichukua taswira katika hifadhi ya Tarangire
Wanahabari wakichukua Selfiee kabla ya kuanza safari kuelekea kujionea vivutio ndani ya hifadhi ya Tarangire

Makundi ya Tembo yakiwa katika hifadhi ya Tarangire
Baadhi ya wanachama wa Arusha Press Club wakiwa katika picha ya pamoja katika lango la kuingilia katika hifadhi ya Taifa Tarangire

(Habari Picha na Pamela Mollel,Arusha)

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post