
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga ACM Muliro Jumanne Muliro mchungaji huyo wa kanisa la Divine alikuwa anatokea Kiinza kwenda Kahama mjini ndipo pikipiki aliyokuwa anaendesha kugonga daraja kisha kupinduka na kusababisha apoteze maisha.
Kamanda Muliro amesema chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa dereva huyo na mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitali ya wilaya ya Kahama.
Na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Social Plugin