RAIS MAGUFULI ATUMBUA MWINGINE....SAFARI HII KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa katibu mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Profesa Justin Ntalikwa kuanzia leo tarehe 26 Machi 2017

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post