Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

RAIS MHE. DKT. SAMIA AFUTURISHA VIONGOZI,WAZEE, MAKUNDI MAALUM NA MAJIRANI PAMOJA NA MAKUNDI MBALIMBALI, KIZIMKAZI MKOA WA KUSINI UNGUJA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiitikia dua pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kusini, Unguja Mhe. Hamida Mussa Khamis wakati wa futari aliyowaandalia Viongozi, Wazee, Makundi Maalum, majirani na wananchi wa Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, tarehe 16 Machi, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi, Wazee, Makundi Maalum, majirani na wananchi wa Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja kwenye Futari aliyowaandalia, tarehe 16 Machi, 2026.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com