Ninayo hapa ngoma mpya kali ya Mwana dada machachari katika nyimbo za asili "The Super Nyankole" kutoka Kahama mkoani Shinyanga.Ngoma hii inaitwa 'Maumivu'. Ametumia lugha mbili,Kisukuma na Kiswahili.
Bofya hapa chini Kutazama video hii kali iliyo katika ubora wa hali ya juu iliyoongozwa na Masesa kutoka Angel Studio za Kahama
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin