SASA UKIONESHA MAKALIO HADHARANI UTAAMBULIA KWENDA JELA

 
Kuonyesha makalio hadharani sasa ni uhalifu katika jimbo la Victoria nchini Australia.


Hatia hiyo inayojulikana kama ''mooning'' kwa lugha ya kiingereza sasa ina hukumu ya hadi miezi sita jela .

Marekebisho ya sheria hiyo yanalenga kutenganisha utani unaohusisha uchi na ule wa kujionyesha kingono.

Sheria hiyo mpya pia inapiga marufuku uimbaji wa nyimbo chafu pamoja na tabia nyengine zinaozoonekana kuwa za uasherati, uchafu, kukera au kutusi.
Via>>BBC Swahili

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527