ANGALIA HAPA VIDEO YA MAZISHI YA MSANII MAARUFU WA NYIMBO ZA ASILI NYANDA MADIRISHA ALIYEFARIKI AKIJIANDAA KUFANYA SHOW SIMIYU
Saturday, September 17, 2016
Tarehe 06.08.2016 wasanii na wapenzi wa nyimbo za asili nchini Tanzania walipata pigo kubwa kutokana na msanii kipenzi cha watu Nyanda Madirisha aliyekuwa mkazi wa Kahama mkoani Shinyanga alifariki dunia akijiandaa kufanya show yake wilayani Maswa mkoani Simiyu.Watu mbalimbali walijitokeza katika mazishi ya msanii huyu maarufu..Malunde1 blog ambaye ni mdau mkubwa wa nyimbo za asili...tumeamua kukusogezea video ya mazishi ya msanii Nyanda Madirisha..Tazama hapa chini
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin