Video ya Vituko ! Masanja Mkandamizaji Akiwacharaza Bakora Vijana Ambao Wamechelewa Kuoa
Wednesday, August 17, 2016
Mchekeshaji kutoka kwenye kundi la Original Komedy, Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji ambaye Agosti 14 2016 alifunga ndoa na mchumba wake aitwaye Monica amefanya hiki kichekesho kifupi akiwa na MC pilipili akitoa adhabu kwa vijana wanaochelewa kuoa. Tazama video hapa chini
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin