Xavier Vanneste
mmoja wa watu waliochangia mradi huo ambaye ni mmiliki wa mgahawa, Philippe Le Loup anasema………."Inatakiwa uwe kama una kichaa fulani kidogo hivi kama bia yenyewe kufanya mradi kama huu, mimi nilikuwa na pesa kwa ajili hiyo kwa hiyo nikapenda nikatoa fedha".
Katika mradi huu wanywaji walichangisha dola milioni 3 hivyo wameahidiwa kupata bia moja kila siku bure maisha yao yote.
Malori yaliyokuwa yakitumika kabla
Unaweza kuangalia video hii hapa chini
Social Plugin