Leo Mei 30,2016 inakueletea Video mpya ya msanii maarufu wa nyimbo za asili anayeimba kwa lugha ya Kisukuma kutoka kanda ya Ziwa na Tanzania na Afrika Mashariki ,Bhudagala Mwana Malonja. Gwiji wa Nyimbo za asili Bhudagala Mwanamalonja anatoka Serengeti mkoa wa Mara.Wimbo unaitwa "Lyabhocha "
upo katika Albamu yake mpya 2016 yenye nyimbo sita inaitwa "Kishimbe"..Utazame hapa chini