Katibu Mkuu CHADEMA, Dr. Vincent Mashinji aripoti rasmi ofisini Kwake



Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), DR.Vincent Mashinji jana ameripoti rasmi kwenye ofisi yake mpya jijini Dar es Salaam na kupokelewa na viongozi mbalimbali waandamizi wa chama hicho akiwemo Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar, Salumu Mwalimu.


Watendaji wa Makao Makuu wakimkaribisha Katibu Mkuu Dr. Vicent Mashinji jana.Hii ni tokea katibu Mkuu huyo kuchaguliwa kwake kwenye mkutano wa Baraza Kuu CHADEMA, uliofanyika jijini Mwanza Machi 12 mwaka huu.

Watendaji wa Makao Makuu wakimkaribisha Katibu Mkuu Dr. Vicent Mashinji. Anayemfuatia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar, Salumu Mwalimu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post