MHESHIMIWA LOWASSA ATUA MWANZA KWA AJILI YA BARAZA KUU LA CHADEMA KESHO


Mh Edward Lowassa akiwasili Hotel ya Gold Crest jijini Mwanza

Mh Hawa Mwaifunga (makamu mwenyekiti baraza la wanawake chadema-bawacha) na Mh Ester Bulaya (Mb-bunda mjini) wakimlaki Waziri Mkuu mstaafu Mh Edward Lowassa

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527