LEO NI KUMBUKUMBU YA SIKU YA KUZALIWA KWA MENEJA WA RASI FM NA MDAU MKUBWA WA MALUNDE1 BLOG
Friday, March 25, 2016
Leo
terehe 25.3.2016 ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa meneja wa Radio Rasi FM 103.7 na mdau mkubwa wa Malunde1
blog,bwana Msafiri Andrew maarufu kwa jina la “Babu”.
Babu leo anatimiza miaka kadhaa tangu azaliwe.
Msafiri
Andrew ni mwandishi wa habari aliyebobea katika uandaaji wa vipindi vya redio na sasa anaitumikia Rasi Fm ya mkoani Dodoma.
Amekuwa
katika tasnia ya habari nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka saba sasa akitumia
radio mbalimbali ikiwemo Ors fm Simanjiro,Kibo Fm Moshi, Moshi Fm Radio 5
Mpanda Fm na sasa ni meneja wa Rasi Fm radio Dodoma.
Happy
birth day to you brother!!
Angalia picha hapa chini akiwa katika pozi mbalimbali
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin